Kitabu Kilicho Barikiwa
Yaani Qur’ani ina baraka tele. Na hivyo ndivyo ulivyo ukweli, na baraka zake zinaweza kuelezewa katika pande kadhaa:
1. Qur’ani ina baraka kwa upande wa chanzo chake na pahali iliko tokea. Kwa sababu aliye iteremsha ...