Mwanzo | | MALALAMIKO YA QUR’ANI TUKUFU
MALALAMIKO YA QUR’ANI TUKUFU
SIFA ZA JAMII YA KIJAHILIA KWA MUJIBU WA QUR’ANI
SIFA ZA JAMII YA KIJAHILIA KWA MUJIBU WA QUR’ANI          Sifa ya kwanza miongoni mwa sifa za kijahilia ni kuwaabudu watu badala ya Mwenyezi Mungu aliye tukuka. Na ibada maana yake ni kutii na kutawalisha kama ilivyo pokelewa ...
  21 Jul 2020 - 20:06   Soma 670   maelezo
UJAHILIA WA KILEO
UJAHILIA WA KILEO        Wanadamu leo hii wanauishi ujahilia mpya -hata kama baadhi yao watajiiata waislamu- kwa mujibu wa maana ya ujahilia inayo tolewa na Qur’ani. Kwa sababu Qur’ani haiuhesabu ujahilia kuwa ni kipindi maalumu kilicho malizika kwa ...
  21 Jul 2020 - 20:06   Soma 713   maelezo
MAJUKUMU YA VYUO VYA DINI KATIKA KUIRESHA QUR’ANI MAISHANI
MAJUKUMU YA VYUO VYA DINI KATIKA KUIRESHA QUR’ANI MAISHANI         Ninaamini kuwa kundi la kwanza kabisa katika jamii lenye majukumu hayo ni hauza tukufu (vyuo vya kidini), wanafunzi wake, na wasomi wake na wakhatibu wake, kwa sababu kusalika ...
  21 Jul 2020 - 20:06   Soma 541   maelezo
UDHARURA WA KURUDI KWENYE QUR’ANI
UDHARURA WA KURUDI KWENYE QUR’ANI        Sidhani kama baada ya ufafanuzi huo tutakuwa na haja ya kuendelea kutaja sababu za ziada zinazo tusukuma kurudi kwenye Qur’ani na kuishi katika himaya yake. Kwani sidhani kama yupo ambaye hajatambua hasara ...
  21 Jul 2020 - 20:05   Soma 460   maelezo
MAISHA KATIKA HIMAYA YA QUR’ANI
MAISHA KATIKA HIMAYA YA QUR’ANI        Kwa hakika nimeyapitia maisha nikiwa katika himaya ya Qur’ani na kiashi katika ulinzi wake kwa miaka kadhaa. Ujanani mwangu nilikuwa nikihitimisha Qur’ani mara ishirini mpaka mara ishini na moja kwa mwaka. Mpaka ...
  21 Jul 2020 - 20:05   Soma 450   maelezo
Qur’ani Ni Mawaidha, Tiba, Uongofu Na Rehema
Qur’ani Ni Mawaidha, Tiba, Uongofu Na Rehema          Hapa nitafupisha maneno aliyo yataja Sayyed Tabatabai katika tafsiri ya aya ya 138 katika surat Al-Imran[1]:        Raghibu anasema katika kitabu chake cha Al-Mufradat: “Neno alwa’dh, maana yake ni kukemea kunako ...
  21 Jul 2020 - 20:04   Soma 569   maelezo
Qur’ani Ni Kauli Nzito
Qur’ani Ni Kauli Nzito         Uzito ambao unabebwa na kauli au neno. Na Qur’ani ni nzito kwenye nafsi, kwa sababu huyazuwia matakwa ya nafsi na haiiachi uhuru, bali huiadabisha, huijenga na kuongoza. Qur’ani ni nzito kenye akili kutokana ...
  21 Jul 2020 - 20:04   Soma 432   maelezo
Mwangalizi (Qayyim)
Mwangalizi (Qayyim)        Sifa hii inatokana na neno: “alqaymumah” lenye maana ya uangalizi. Hivyo, Qur’ani ni kitabu kinacho wasimamia waja wa Mwenyezi Mungu, ili kuwaongoza na kuwaonyesha masilahi na heri yao, ikiwa ni pamoja na kuwandaliwa kila aina ...
  21 Jul 2020 - 20:03   Soma 559   maelezo
Kitabu Kitukufu (Almajiid)
Kitabu Kitukufu (Almajiid)          Raghibu anasema katika kitabu chake cha Al-Mufradat: Neno: “Almajdu”: ni upana katika ukarimu na utukufu. Na asili ya neno hilo ni kauli ya warabu: “majadat al-ibilu”, pale ngamia anapokutwa kwenye malisho yenye nyasi nyingi ...
  21 Jul 2020 - 20:03   Soma 454   maelezo
Kitabu Chenye Nguvu (Al-A’ziz)
Kitabu Chenye Nguvu (Al-A’ziz)   1.       Kwa maana kwamba Qur’ani ni kitabu ambacho ni vigumu kufikia uhakika wake. Kwani kitabu ambacho uhakika wake umehifadhiwa kwenye lohi mahfudhi, na matamshi yake chombo tu cha kuziweka maana zake karibu na akili ...
  21 Jul 2020 - 20:03   Soma 464   maelezo
1 2 3 4
total: 35 | displaying: 11 - 20