Mwanzo | | Habari na Harakati
Habari na Harakati
Marjii Ayatollah Yaaqubi, ahimiza jamii kuharakia katika swala la kujitolea
Marjii Ayatollah Yaaqubi, ahimiza jamii kuharakia katika swala la kujitolea Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mtukufu: Marjii ayatollah Sheikh Muhammad Yaaqubiy amehimiza mno kuwepo kwa misingi ya kijamii ni kuwekeza zaidi katika kujitolea katika hali ambayo kutajitokeza upungufu kutoka ...
  09 Jul 2020 - 20:13   Soma 604   maelezo
“….Wasimamisheni, kwani hao ni wenye kuulizwa….”
 “….Wasimamisheni, kwani hao ni wenye kuulizwa….” (Surat Swaffat aya 24) Sifa na alama za Kiongozi (Mwenye kuulizwa) Imepokelewa kutoka kwa Mtume Muhammad (saww) akisema: “....Kila mmoja wenu ni kiongozi na mwenye kuulizwa juu ya raia wake, mtawala ambaye yupo juu wa ...
  09 Jul 2020 - 20:12   Soma 785   maelezo
Haifai wazazi kuchunguza vifaa vya watoto wao.
Haifai wazazi kuchunguza vifaa vya watoto wao.  Kwa mujibu wa Sheikh Muhammad Yaaqubiy ni kwamba haifai kwa wazazi na wenye mamlaka kuchunguza vifaa vya watoto wao kama vile simu, kompyuta mpakato na vifaa vingine vya kisasa kwa hoja ...
  09 Jul 2020 - 20:10   Soma 532   maelezo
Virusi vya Corona vyabadirisha ulimwengu na kuupa nidhamu mpya.
Virusi vya Corona vyabadirisha ulimwengu na kuupa nidhamu  mpya.     Kwa Jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu 1. Matukio mengi yanayotokea na kusababisha madhara, yanaweza yakawa na matokeo hasi na mabaya kwenye maisha ya mtu ...
  09 Jul 2020 - 20:01   Soma 663   maelezo
Hotuba za sala ya Eidul Adh-ha mwaka 1439
Hotuba za sala ya Eidul Adh-ha mwaka 1439 Ayatollah Sheikh Muhammad Yaaqubiy. Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mtukufu Ofisi ya Ayatollah Muhammad Yaaqubiy Mjini Najaf, ilifanikiwa kuandaa ibada ya Eidul Adh-ha ambayo ilihudhuriwa na umati wa watu  na ambapo Ayatollah ...
  09 Jul 2020 - 19:55   Soma 793   maelezo
“..Hakika dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu..”
 “..Hakika dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu..”[1] Kwa hakika dini katika matumizi ya neno hili, humaanisha mfumo, misingi na fikra ambazo mwanadamu hushikamana nazo pamoja na kila mambo yenye kuambatana na mienendo yake. Na kila mwanadamu ...
  09 Jul 2020 - 19:55   Soma 1141   maelezo
Marjii Ayatollah Yaaqubi, ahimiza ofisi zake za kielimu na kijamii kusaidia vitabu katika Chuo Kikuu cha Mousil pamoja na kuimarisha upya majengo yake.
Marjii Ayatollah Yaaqubi, ahimiza ofisi zake za kielimu na kijamii kusaidia vitabu katika Chuo Kikuu cha Mousil pamoja na kuimarisha upya majengo yake. Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mtukufu Marjii Ayatollah Yaaqubi, ahimiza ofisi zake za kielimu na kijamii ...
  09 Jul 2020 - 19:53   Soma 518   maelezo
Uislamu ndio muasisi na kiongozi wa utamaduni na usuluhishi kwa muda wote.
Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema na mwenye kurehemu Uislamu ndio muasisi na kiongozi wa utamaduni na usuluhishi kwa muda wote. Kiongozi Ayatollah Sheikh Muhammad Yaaqubiy aliweza kupata ugeni wa mtafiti wa Kifaransa Bw Gilles Kepel kutokea ...
  09 Jul 2020 - 19:52   Soma 626   maelezo
Marjii Ayatollah Yaaqubi, ahimiza umuhimu wa kutambua vipawa na kuvitukuza
Marjii Ayatollah Yaaqubi, ahimiza umuhimu wa kutambua vipawa na kuvitukuza Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mtukufu Kiongozi wa Juu wa Kidini, Ayatollah Shekh Muhammad Yaaqubiy amezitaka na kuzihimiza mamlaka za ndani kuongeza kutilia umuhimu zaidi katika kutambua na kuvipa ...
  09 Jul 2020 - 19:51   Soma 500   maelezo
“Hisia zina nafasi kubwa ya kuunganisha wanadamu” Marjii Ayatollah Yaaqubi.
 “Hisia zina nafasi kubwa ya kuunganisha wanadamu”  Marjii Ayatollah Yaaqubi. Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mtukufu Kwa kupitia baadhi ya mambo yaliyotokea katika masiku yaliyopita,  yameweza kuonyesha kwamba wanadamu kuachilia mbali dini zao, mataifa yao, jografia yao na hata ...
  09 Jul 2020 - 19:39   Soma 498   maelezo
1 2 3
total: 24 | displaying: 11 - 20