Mwanzo | | Habari na Harakati
Habari na Harakati
Kumuomba Msaada Mwenyezi Mungu Katika Usiku wa Nusu ya Mwezi wa Shabani
Kwa Jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu Kumuomba Msaada Mwenyezi Mungu Katika Usiku wa Nusu ya Mwezi wa Shabani         Leo hii tumo ndani ya Mwezi wa Shabani uliosheheni kheri nyingi kwa waumini. Na sasa ...
  09 Jul 2020 - 19:36   Soma 697   maelezo
Arobaini ya faraja
Arobaini ya faraja Imepokelewa kutoka kwa Imamu Sadiq (as) amesema  “........Baada ya kuwa mateso yameshamili  kwa wana wa Israel, waliamua kupiga mayowe na kumlilia Mwenyezi Mungu kwa siku 40, hivyo Mwenyezi Mungu akatuma ujumbe kwa  Nabii Mussa na Haruna  ...
  09 Jul 2020 - 19:33   Soma 544   maelezo
Dumisheni swala la kupenda nchi yenu katika nyoyo na akili zenu
 Dumisheni swala la kupenda nchi yenu katika nyoyo na akili zenu Ayatollah  Sheikh Mohammad Yaaqubiy katika mkutano wake na kundi la wanafunzi na vijana amesema: Lazima tuwe makini sana na kila aina ya majaribio yenye kulenga kutuondolea hali ya ...
  09 Jul 2020 - 18:31   Soma 783   maelezo
Ayatollah Yaaqubiy ahimiza waumini kumzuru Imamu Ally (as) katika siku ya Ghadeer
Ayatollah Yaaqubiy ahimiza waumini  kumzuru Imamu Ally (as) katika siku ya Ghadeer Kwa jina la Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema na mwenye kurehemu Kwa mnasaba wa siku ya Ghadeer, tunapenda kuwahimiza waumini wote katika jambo la kumzuru Imamu Ally ...
  04 Jul 2020 - 18:34   Soma 746   maelezo
1 2 3
total: 24 | displaying: 21 - 24