Wito kwa Wanazuoni na Wanafikra:

| |times read : 759
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Wito kwa Wanazuoni na Wanafikra:

Kwa hakika ninawaita wanazuoni, wanafikra, watu wa utamaduni na waandishi warudi kuyahuisha tafiti na masomo ya kijamii na kuyangalia kwa kina na kunufaika nayo, ili tuinuwe kiwango cha jamii yetu na kuifanya iwe tayari kupokea dola ya Imamu aliyeahidiwa (a.s) na uongozi wake wenyebaraka utakaoanzia kwenye ardhii tukufu. Tafiti hizo zinapaswa ziwe wazi na zenye nia dhabiti ili ziwe ndio msingi wakuanzia, na hapo ndipo mambo mengi yaonekanayo kuwa ni sahihi utayaona yako kinyume kabisa: “Na huenda mkakichukia kitu nacho ni kheri kwenu, na huenda mkakichukia kitu nacho ni shari kwenu” surat Al-Baqarah: 216.