Mwanzo wa Mwaka wa Kimaanawi:
                            	
								
									10/07/2020 13:17:00 | 
									18/Dhul-Qadah/1441|times read : 881
									
								
							
								
									Mwanzo wa Mwaka wa Kimaanawi:
Mwaka wa kimaanawi kwa watafuta ukamilifu na wenye shauku ya radhi ya Mwenyezi Mungu aliyetukuka, huanza mwanzoni mwa mwezi wa Rajabu. Mwanzo: maana yake ni kupiga hatua, kuiandaa azma, kuzidisha uchangamfu, kupitia kurasa za matendo yaliyopita, na kuweka matarajio ya kufungua kurasa mpya nyeupe.

 
				        
				     
				        
				     
				        
				     
				        
				     
				        
				     
				        
				     
				        
				    
 
 