Mwanzo wa Mwaka wa Kimaanawi:

| |times read : 653
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Mwanzo wa Mwaka wa Kimaanawi:

Mwaka wa kimaanawi kwa watafuta ukamilifu na wenye shauku ya radhi ya Mwenyezi Mungu aliyetukuka, huanza mwanzoni mwa mwezi wa Rajabu. Mwanzo: maana yake ni kupiga hatua, kuiandaa azma, kuzidisha uchangamfu, kupitia kurasa za matendo yaliyopita, na kuweka matarajio ya kufungua kurasa mpya nyeupe.