Miongoni mwa mambo yenye kuchekesha....

| |times read : 530
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Miongoni mwa mambo yenye kuchekesha....

“...Miongoni mwa mambo yenye kuchekesha na kuleta mizaha ni haya ambayo wanayaita maandamano yenye kupinga uadui wa Marekani na Israel hali ya kuwa watu wamevaa mavazi yao, wanatumia bidhaa zao, wanawaiga katika ada zao na mienendo yao katika filamu zao, na wanaishi maisha yao kwa misingi yao, na hata kuwaita watoto wao majina yao. Kwa hakika hii ni yenye kuchekesha lakini inaliza....”.