Inanisikitisha kuona vijana....
10/07/2020 13:13:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 603
Inanisikitisha kuona vijana....
“...Inanisikitisha sana kuona vijana wakiwaiga wamagharibi katika uvaaji wao, ulaji wao, utembeaji wao, namna ya kuishi kwao, kana kwamba hawana historia yao mpaka waishie kunakili kutoka kwao...”

