Haifai kufanya kitu.....

| |times read : 483
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Haifai kufanya kitu.....

“...Haifai kufanya kitu chochote cha kijinga na ambachi hakina akili ndani yake, kwa maana hisia ni lazima zihukumiwe na akili na wala si kinyume chake, kama ambavyo haifai kuwa chini ya ada na kufuata bila kuangalia nafasi ya sheria na misimamo yake, kwa maana yenye kukubalika yafanywe na yenye kukataliwa basi yaachwe.

Na ikiwa kuachana na jambo hilo ni aibu basi ni bora aibu kuliko kujiingiza motoni.

Imamu Hassana as anasema “...Mwenye kuabudu asiyekuwa Mwenyezi Mungu basi huwa amefanya shirki, kwa maana ibada ni kutii hivyo ni lazima iwe kwa Mwenyezi Mungu tu...”