Kuzidisha kusujudu kwa kumshukuru Mungu..

| |times read : 505
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Kuzidisha kusujudu kwa kumshukuru Mungu..

“...NI muhimu sana kuzidisha kusujudu kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa neema zake ambazo hazihesabiki, au kwa ajili ya kumuomba kutukubalia dua zetu. Kwa maana hakuna muda ambao mja anakuwa karibu na Mungu kama ambavyo anakuwa katika hali ya kusujudu huku akisema mara sana “Ya Arhama Rahimiin”.