Kuzidisha kusujudu kwa kumshukuru Mungu..
10/07/2020 10:08:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 505
Kuzidisha kusujudu kwa kumshukuru Mungu..
“...NI muhimu sana kuzidisha kusujudu kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa neema zake ambazo hazihesabiki, au kwa ajili ya kumuomba kutukubalia dua zetu. Kwa maana hakuna muda ambao mja anakuwa karibu na Mungu kama ambavyo anakuwa katika hali ya kusujudu huku akisema mara sana “Ya Arhama Rahimiin”.