Kusoma dua za kujikurubisha...
10/07/2020 13:08:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 613
Kusoma dua za kujikurubisha...
“...Ni lazima tuzidishe sana kusoma dua za kujikaribisha kwa Mwenyezi Mungu na kuomba kutoka kwake kwa kuzingatia maana zake. Pia ni lazima tukutane katika nyusiku ya Ijumaa kwa ajili ya dua Kumayl, au siku ya Ijumaa kwa ajili ya dua Nudbah..”.

