Wa kabla yetu wanatuambia...
10/07/2020 10:07:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 425
Wa kabla yetu wanatuambia...
“..Wa kabla yetu wanatuambia kwamba pindi ambapo mambo yalikuwa yanawawia magumu basi walikuwa wakikutana msikitini kwa ajili ya dua na kutaja mambo ambayo yaliwatokea watu wa nyumba ya Mtume saww pamoja na kuwazuru..”.