Imepokelewa kutoka kwa Imamu Hadi as
10/07/2020 10:07:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 445
Imepokelewa kutoka kwa Imamu Hadi as
Katika kubainisha maana ya kauli yake isemayo “...Oindi mambo yanapokuwia magumu basi sema “..Ewe ambaye hufungua vifundo vya magumu....”, imepokelewa kutoka kwa Imamu Hadi as akisema “..Hivi ndivyo ambavyo Mungu na watu wa nyumba ya Mtume saww wametufunza,...”. Sasa sisi tupo wapi na mafunzo haya ambayo yanakusudia kutunufaisha na kutusaidia?!.