Imepokelewa kutoka kwa Imamu Hadi as

| |times read : 385
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Imepokelewa kutoka kwa Imamu Hadi as

Katika kubainisha maana ya kauli yake isemayo “...Oindi mambo yanapokuwia magumu basi sema “..Ewe ambaye hufungua vifundo vya magumu....”, imepokelewa kutoka kwa Imamu Hadi as akisema “..Hivi ndivyo ambavyo Mungu na watu wa nyumba ya Mtume saww wametufunza,...”. Sasa sisi tupo wapi na mafunzo haya ambayo yanakusudia kutunufaisha na kutusaidia?!.