Kuenea kwa Ufukara..
10/07/2020 10:05:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 492
Kuenea kwa Ufukara..
“...Hakika kuenea kwa Ufukara hupelekea udhaifu wa kufanya manunuzi, kuanguka kwa gurudumu la uchumi. Kwa maana hiyo kutoa na kutimiza haki za kisheria kunapelekea watu kuwa na uwezo wa kufanya manunuzi, na hatimaye kukua kwa gurudumu la uchumi...”.