Kujizuia kutoa....
10/07/2020 10:04:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 489
Kujizuia kutoa....
“...Mwanadamu mwenye tabia ya kujizuia kutoa au kujitolea kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, hujikuta anatoa sana katika njia ya kumuasi Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho atajikuta ni mwenye majuto siku ya kiyama...”