Lazima tutambue kwamba Mungu anatuona....

| |times read : 539
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Lazima tutambue kwamba Mungu anatuona....

“....Ni juu yetu kutambua kwamba Mwenyezi Mungu anatuona na hakuna lenye kujificha kwake, iwe mbinguni au ardhini, na kuwa yu karibu nasi zaidi hata mishipa yetu ya koo, na kwamba kila mmoja wetu amewekewa malaika wenye kuorodhesha kila aina ya matendo yawe makubwa au madogo, na kwamba kuna mashahidi ambao ni viungo vyetu wenyewe. Sasa tukizingatia haya bila shaka tutakuwa makini sana katika matendo yetu, na tutajihesabu sana kabla ya kufanya maasi au kupinga amri ya Mungu. Na miongoni mwa mambo ya muhimu ni kutozuia mali na kutoa haki zake...”.