Tatizo huwa kubwa pale ambapo....
10/07/2020 10:04:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 499
Tatizo huwa kubwa pale ambapo....
“...Ukubwa wa tatizo utajulikana pale ambapo tutatambua kwamba kutokutoa khumsi (Moja ya tano) kuna athari kubwa sana katika maisha yetu, kwa maana kila tonge ambalo halijatolewa khumsi linakuwa ni haramu na lina athari mbaya katika vizazi vyetu...”