Kila kilicho katika mikono ya watu....
10/07/2020 10:04:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 470
Kila kilicho katika mikono ya watu....
“...Hakika kila aina ya mali iliyopo katika mikono ya watu ni katika mambo ambayo Mwenyezi Mungu amewaruzuku, kiasi kwamba kama angalitaka basi asingaliwapa. Sasa vipi wao wanakuwa mabahili katika kumtii na kutekeleza amri zake katika kutoa kidogo tu ya hayo aliyowaruzuku kwa ajili ya kukidhi haja za wengine wenye kuhitajia, na ambao Mwenyezi Mungu amewapa mtihani wa kukosa na ufukara kama ambavyo wao wenyewe pia wamepewa mtihani wa kupewa na utajiri?!
“Ili tu Mwenyezi Mungu aweze kuwajaribu ni nani mwenye kutenda mema”.