Wivu juu ya dini..

| |times read : 530
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Wivu juu ya dini..

“...NI lazima watu wawe na wivu na uchungu na dini yao katika kutekeleza sheria, kiamrisha mema na kukataza mabaya. Nimesikitishwa sana baada ya kusikia kwamba kulikuwa na ulaji wa wazi kabisa ndani ya mwezi wa Ramadhani uliopita katika baadhi ya vyuo, bila ya kuwepo waumini wenye kujitolea kuwakataza. Naamini kama watu wote wangesimamia hili basi wale waovu wasingepata nafasi ya kuvunja sheria za Mwenyezi Mungu ndani ya mwezi mtukufu...”