Moja kati ya majukumu ya kijamii..

| |times read : 483
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Moja kati ya majukumu ya kijamii..

“...Moja kati ya majukumu ya kijamii ambayo si haki na ni dhulma kusema ni Wajib Kifaii (Ulazima ambao endapo mmoja atasimamia basi wengine inakuwa si lazima kwao),  ni swala la kuamrisha mema na kukataza mabaya. Jambo hili limedhulumiwa katika pande zote mbili, kutolewa fatwa na hata katika kutekelezwa...”