Athari za kumtawalisha Imamu Ali (a.s) katika Imani na mwenendo:

| |times read : 527
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Athari za kumtawalisha Imamu Ali (a.s) katika Imani na mwenendo:

 

Hakika kumtawalisha Amirul Muuminina (a.s) si jambo la kihisia, kwa sababu ya shakhsia yake adhimu ili tutosheke na kumpenda tu, wala sio suala la kihistoria ili muambiwe: mna nini nyinyi mbona mnarudi nyuma na kuamsha ikhtilafu na tofauti za zamani? Kama ambavyo sio suala la itikadi ya nadharia, ambayo tunaishia kuiamini bila kuwa na athari ya kimatendo, bali jambo hili ni mlango ambao kila ufunguliwapo hufunguka milango elfu moja ya Imani, hukumu, na maadili, vitu ambavyo hutengeneza mfumo kamili wa Imani, na mwenendo kwa ajili ya mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla.