Hakika gao la Mwenyezi Mungu halina mipaka...

| |times read : 529
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Hakika gao la Mwenyezi Mungu halina mipaka...

“...Kwa hakika Mwenyezi Mungu hana mipaka wala ubahili katika utoaji wake. Na mja hana jukumu zaidi ya kuandaa moyo wake kuwa nafasi stahiki ya gao hilo, kwa kuusafisha kutokana na machafu, kama ambavyo ardhi unayotaka kupanda miti ni lazima kwanza uisafishe kutokana na maada zenye kudhuru na kisha kuiandaa kupokea mbegu, hivyo ndivyo pia inatakiwa iwe kuhusu nyoyo...”