Kutilia mkazo kadhia ya Imamu Mahdi atfs

| |times read : 411
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Kutilia mkazo kadhia ya Imamu Mahdi atfs

“...Kutilia mkazo kadhia ya Imamu Mahdi, kuitetea, kutenda katika kujiandaa kuipokea na kuinusuru ikiwa ni pamoja na kuandaa mikakati yetu kuielekea, kama vile kuendeleza minasaba ya kidini kama sala ya Ijumaa na Jamaa, Kuadhimisha maombolezo ya Imamu Hussein as, Hafla na vikao vya dua na ukumbusho, kuhudhuria misikitini kwa wingi, kufungua vikao vya masomo ya itikadi, adabu historia Mtume ni katika majukumu yetu makubwa...”