Kama mnapenda kumnusuru Imamu...

| |times read : 473
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Kama mnapenda kumnusuru Imamu...

“...Kama kweli mnapenda kumnusuru Imamu basi kuweni tayari kukabiliana na magumu, kwa maana hayo ndiyo yatakayowajenga na kuwapa moyo wa kupata jambo hilo adhimu. Na endapo mtu matatizo haya ambayo si lolote yatakuwa mazito kwake, basi hatoweza pata nafasi hiyo. Imamu Ally as anasema “...Ikiwa tu mnakimbia baridi na joto, bila shaka kwenye upanga mtakimbia zaidi...”.