Siku ambayo nilikuwa naandika moja ya fatwa...
10/07/2020 09:32:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 442
Siku ambayo nilikuwa naandika moja ya fatwa...
“Siku moja nilikuwa nikiandika moja ya fatwa, na katika majibu yangu nikakuta nimeandika “Hakika Uislamu unahitajia sana watu wake”. Ni neno wazi sana, ila nikahisi kabisa kwamba sikuweza kuandika hilo isipokuwa ni kwa rehema na baraka za Imamu atfs...”