Sote tunaomba...
10/07/2020 12:32:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 544
Sote tunaomba...
“...Hakika sisi sote tunaomba kupata sharafu ya kumnusuru Imamu na kuwa naye katika kupambana na adui, lakini ni nani hasa mwenye kujibiwa haraka maombi yake?. Ni muumini ambaye amepitia magumu na kukabiliana nayo kwa subira na uvumilivu...”

