Kumuomba Mungu kupitia yeye
10/07/2020 09:31:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 426
Kumuomba Mungu kupitia yeye
“...NI katika majukumu yetu kumuomba Mungu kupitia Imamu atfs, kama ambavyo Bi Fatima Zahra ametuhimiza hilo. Kwa maana Imamu huwa anasikia na anaitikia miito yetu..”