Kuiandaa nafsi na kuilea
10/07/2020 12:30:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 406
Kuiandaa nafsi na kuilea
“...Hakika kuiandaa na kuilea nafsi ni katika majukumu yetu ili tu kuweza kufikia katika ila nafasi ya kuwa katika wenye kumnusuru Imamu kama ambavyo kuwa katika wenye kubeba ujumbe wake na kujenga heshima ya Uislamu kwa ujumla...”

