Kwa hakika Umma kuhisi uwepo wa.....
10/07/2020 09:30:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 373
Kwa hakika Umma kuhisi uwepo wa.....
“...Kwa hakika kitendo cha umma kuhisi kuwepo kwa imamu wake, kitapelekea kujihisi yale ambayo anayahisi katika huzuni na maumivu yake, na hata yeye pia atakuwa ni mwenye kushirikiana nao katika vikao vyao, kama ambavyo atakuwa nao katika kuhakikisha anawatolea vikwazo vya dhulma na uwapa imani katika kuzichunga nafsi zao. Na mwisho kabisa ni kuwafanya kuwa ni katika jeshi lake, hasa pale ambapo Umma utatambua kuwa kuzidisha kwao kutenda mema ni katika mambo ambayo yanapelekea Imamu kudhihiri haraka....”