Kwa hakika jambo la Imamu Mahdi....

| |times read : 442
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Kwa hakika jambo la Imamu Mahdi....

“...Kwa hakika kadhia ya Imamu Mahdi atfs  ni kadhia ya Kiulimwengu, na inatakiwa walimwengu wote wakinaishwe kunako yeye, kwa maana huyu ni wao. Na ndio maana kunatakiwa kuwe na lugha nyingi zenye kumuelezea yeye kwa mujibu wa yule ambaye unamuhutubia, kwa maana kumkinaisha Shia juu yake ni tofauti na mazungumzo utakayotumia kumkinaisha asiyekuwa Shia, kama ambavyo ni tofauti kabisa na utakavyotaka kumkinaisha asiyekuwa Mwislamu kabisa.....”