Jukumu la kwanza kabisa kwa Umma...
10/07/2020 09:30:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 464
Jukumu la kwanza kabisa kwa Umma...
“...Na jukumu la kwanza kabisa kwa Umma juu ya Imamu wake ni kumtambua yeye, kwa maana moja ya matokeo mabaya kabisa ya kutomjua ni kupotea, kufarakiana, kugombana, kukithiri kwa wenye kujifanya yeye katika nafasi hii tukufu, kwa maana nafasi hii ni katika nafasi bora na za juu kabisa....”