Huu ndio umuhimu wa Imamu wa zama (atfs)

| |times read : 428
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Huu ndio umuhimu wa Imamu wa zama (atfs)

“..Umuhimu wa Imamu wa zama atfs unapatikana katika kusimamia mambo ambayo kwayo umma utatengemaa, ikiwa ni pamoja na kuupeleka umma katika ukamilifu na uongofu na kuyafikia yale ambayo inatakiwa kuyafikia. Na hii ndio maana ambayo Bi Fatima Zahra katika maneno yake ndani ya msikiti wa baba yake Mtume Muhammad saww alisema “..Na akajaalia Imamu wetu kuwa ni nidhamu ya umma...”.”