Huu ndio umuhimu wa Imamu wa zama (atfs)
10/07/2020 09:29:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 428
Huu ndio umuhimu wa Imamu wa zama (atfs)
“..Umuhimu wa Imamu wa zama atfs unapatikana katika kusimamia mambo ambayo kwayo umma utatengemaa, ikiwa ni pamoja na kuupeleka umma katika ukamilifu na uongofu na kuyafikia yale ambayo inatakiwa kuyafikia. Na hii ndio maana ambayo Bi Fatima Zahra katika maneno yake ndani ya msikiti wa baba yake Mtume Muhammad saww alisema “..Na akajaalia Imamu wetu kuwa ni nidhamu ya umma...”.”