Je, katika ziara zako umefikiria hili?

| |times read : 440
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Je, katika ziara zako umefikiria hili?

Je, unapokuwa unazuru ziara zako, umefikiria kuswali rakaa mbili kwa ajili ya Imamu (atfs), au kutoa sadaka maalumu kwa ajili yake?.

Kwa maana sisi ndio ambao tunamficha imamu katika mawazo yetu, pamoja na kutambua kwamba tunaishi kwa dua zake na hifadhi yake.