Kila siku tunatamani.....

| |times read : 384
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Kila siku tunatamani.....

Kila siku tunatamani tuwe ni katika wafuasi na wanusuru wake, hali ya kuwa bado ni madhaifu wa nafsi zetu na familia zetu, hatuna hata uwezo wa kuchukua maamuzi ya mwisho. Je, kwa udhaifu huu tutaweza kumnusuru Imamu as?, au kwa kuwa chini ya Magharibi daima tutaweza kufanikisha hilo?.

Sasa acha niseme leo kwa sauti kubwa kabisa, mnusuruni Imamu wenu na Mwenyezi Mungu atawanusuru, msiwe ni sababu ya Imamu kuchelewa kudhihiri na Mwenyezi Mungu anawanusuru, kwani kila siku Imamu wenu anaita na kunadi “..Je, kuna mwenye kuninusuru aninusuru?!...”. basi mnusuruni Imamu wenu, na andaeni silaha zenu kwa ajili yake, msiwe madhaifu na wanyonge kwa hali yeyote ile, na harakisheni sana katika kuzikomboa nafsi zenu kabala haijafika siku ambayo majuto hayatafaa kitu....ewe Mwenyezi Mungu, kwa hakika nimefikisha, kwa hakika nimefikisha....”.