Uislamu ni mfumo kamili..
09/07/2020 21:56:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 486
Uislamu ni mfumo kamili..
“..Uislamu ni mfumo kamili katika nyanja zote anazohitajia mwanadamu katika maisha yake, kwa maana hiyo mwanadamu ana haja ya kutafuta kutoka kwingine. Na endapo atatambua hili basi ataweza kupambana na kila aina ya kizuizi chenye kuulenga Uislamu na nyanja zake...”.