Sheria za Kiislamu...
09/07/2020 21:55:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 505
Sheria za Kiislamu...
“...Sheria za Kiislamu ni sheria sahihi, kwani zimeweka misingi sahihi katika mahusiano yeyote yale ya kijamii, kwa kiasi kwamba kama mwanadamu atashikamana nayo basi atafikia lengo lake pamoja na kupata ridhaa za Mungu. Na kama ataamua kuachana na misingi hiyo basi Mwenyezi Mungu naye atamuacha na nafsi yake yenye kuamrisha mabaya, na kisha kuangukia katika majanga ambayo hatayamfaa majuto baada yake...”.