Hakika dini inatilia mkazo...

| |times read : 527
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Hakika dini inatilia mkazo...

“...Hakika dini inatilia sana mkazo misingi ya kibinadamu, na inataka kuiweka katika nyoyo za watu, kwa maana misingi hiyo ndio njia pekee ya kuokoa maisha ya watu kutokana na matatizo na hofu ambazo zinawatawala. Leo hii nchi za Magharibi zinakiri kwamba wameshindwa kupambana na gonjwa na Ukimwi kwa njia zao, na kwamba njia pekee ni kujaribu kuwalea watu kiroho na kuchunga misingi ya kiroho katika mahusiano ya binadamu. Ni rai sahihi kabisa, na walitakiwa kushikamana nayo tangu mwanzo..”.