Hakika Uislamu...
09/07/2020 21:55:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 389
Hakika Uislamu...
“...Hakika Uislamu hauishii tu katika kumwekea Mwanadamu njia za ibada katika maeneo fulani, bali una wigo mpana zaidi hata katika tamaduni, historia na mambo yao yote. Hivyo Mwislamu anatakiwa aishe humo na wala asitoke, kama ambavyo aulinde na kushikamana nao kama ambavyo watu leo hii wanashikamana na ulimwengu huu, na ajitolee kwa ajili yake...”.