Wenye kunifanyia uadui...

| |times read : 416
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Wenye kunifanyia uadui...

“...Kwa hakika wenye kunifanyia uadui na kunikosea kamwe sitawafanyia ubaya, kwa maana vyovyote vile bado ni wana familia wa Kiislamu, na Uislamu una shida na wanafamilia wake wote. Hivyo vyovyote wafanyavyo kifua changu bado  cheupe kwao, na hata wakitumia muda wao kunichafua na kunisema bado nitabakia ni mwenye kuwakumbatia daima...”.