Mikono chafuzi..
09/07/2020 21:54:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 401
Mikono chafuzi..
“...Kwa hakika mikono chafuzi imeweza kufikia Uislamu katika nyanja zake mbalimbali, kutokana tu na chuki dhidi yake. Kwa maana katika historia Uislamu ulikuwa i pigo kubwa sana kwa watu hawa, japokuwa bado kuna umuhimu wa uhakika huu kudhihirishwa sasa, kwa maana kuficha hakuwezi kushindana na haki. Sema tu baadhi ya uongo na uzushi wa leo umefichwa sana katika umaarufu na kuenea kwake, hali ya kuwa si kila kilicho mashuhuri basi kina mashiko..”.