Kuchafua sura ya dini…

| |times read : 339
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Kuchafua sura ya dini…

“...Kwa hakika kuchafua sura ya dini na kuonyesha kwamba dini ndiyo ambayo imekuja kumdhulumu mwanamke kwa mambo kama vile kuruhusu kuolewa zaidi ya mmoja, au ushahidi wa mwanamme mmoja i sawa na ushahidi wa wanawake wawili, au haki yake katika urithi na mengineyo kwa kigezo kwamba mwanamke ni mjinga kwa mtazamo wa dini, ni katika mambo ambayo yanapelekea mno mwanamke kukataa na kuwa mbali na dini, na hata hupelekea mwanamke huyu kuweka mbali kanuni za kidini kwa kuwa huaminika kwa makisio tu..”.