Uislamu unaamini...
09/07/2020 21:53:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 413
Uislamu unaamini...
“...Uislamu unaamini kwamba uzuri wa kweli wa mwanamke ni katika kujihifadhi kwake, aibu yake, hijabu yake na kujisitiri kwake kwa wanaume, uchamungu na kushikamana kwake na dini yake. Mwenyezi Mungu swt anasema kwamba vazi la kweli kabisa ni uchamungu...”.