Kutambua utukufu wa Uislamu

| |times read : 304
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Kutambua utukufu wa Uislamu

“...NI lazima watu kutambua utukufu wa Uislamu, katika adabu na itikadi zake. Na kwamba ni njia pekee ya kuwanufaisha watu kwa kuwa tu ni njia ya Mwenyezi Mungu, hivyo yote yenye kuandikwa katika hili inatakiwa yawe kwa lugha nyepesi ambayo watu wote wataielewa, wawe Waislamu au hata wasiokuwa wao, kwa maana kupenyeza haya katika nyoyo zao kutawafanya wazidi kupenda Uislamu..”