Ni katika adabu za Uislamu
10/07/2020 00:43:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 440
Ni katika adabu za Uislamu
Ni katika adabu za Kiislamu kuheshimu nadharia za wengine, na kama kutakuwa na migongano basi atatuliwe kwa mazungumzo yenye kujenga, na kama itatoea mmoja hajatosheka na rai ya mwingine basi ana haki ya kutoungana naye lakini pasi na kuvuka mipaka ya kisheria katika kuamiliana naye...”

