Kadhia za msingi....
09/07/2020 21:42:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 349
Kadhia za msingi....
“...Umoja ndio jambo la msingi, hata kama kutakuwa na tofauti za misingi, hilo ni jambo la kawaida sana maadamu kuna akili zenye kufikiri na kuyafanyia kazi yenye kuifikia. Cha muhimu tu ni kuangalia hizi tofauti zetu kwa mtazamo chanya, kwa maana ya kwamba ni kuwa na aina nyingi za ala katika utendaji zenye kutumikia lengo moja ambalo i sheria iweze kufika kwa kila kona ya ulimwengu...”