Miongoni mwa tabia za Kiislamu

| |times read : 355
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Miongoni mwa tabia za Kiislamu

“..Miongoni mwa tabia na adabu za Kiislamu ni kuheshimu fikra na nadharia za wengine na matendo yao, na kama kutatokea hali ya mfarakano basi umalizwe kwa mazungumzo mazuri. Na kama itashindikana kwa hilo na mtu hakukinaika na mazungumzo ya mwingine, sawa asiungane naye, lakini asivuke mipaka yake kisheria katika kuamiliana naye. .”.