Miongoni mwa tabia za Kiislamu
09/07/2020 21:42:00 |
18/Dhul-Qadah/1441|times read : 355
Miongoni mwa tabia za Kiislamu
“..Miongoni mwa tabia na adabu za Kiislamu ni kuheshimu fikra na nadharia za wengine na matendo yao, na kama kutatokea hali ya mfarakano basi umalizwe kwa mazungumzo mazuri. Na kama itashindikana kwa hilo na mtu hakukinaika na mazungumzo ya mwingine, sawa asiungane naye, lakini asivuke mipaka yake kisheria katika kuamiliana naye. .”.