Mafiko ya maiti watoto

| |times read : 828
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

 

Mafiko ya maiti watoto

Swali:

Je, ni ipi hukumu ya mimba na vichanga ambavyo ndio kwanza vinapata roho na kisha kufariki bila hata ya kutenda dhambi?, wana nafasi gani siku ya kiyama, jeni kweli watapelekwa moja kwa moja peponi kama tunavyosikia?.

 

Jawabu:

               Kwa jina la Mwenyezi Mungu.

Kwa mujibu wa riwaya ni kwamba hao watapelekwa moja kwa moja peponi, na hawataingia humo mpaka pale ambapo watawaombea wazazi wao waumini na wenye subira kwa amri na matakwa ya Mwenyezi Mungu (swt).

Ayatollah Sheikh Muhammad Yaaqobiy.