Hukumu ya daktari wa Meno

| |times read : 400
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Hukumu ya daktari wa Meno

Swali:

      Mtu ametoka kutibu jino lake  na ameambiwa na Daktari kwamba asile na anywe vimiminika tu, jambo ambalo linamfanya kuwa dhaifu na kushindwa kufunga, sasa je, anaweza kuachia funga?.

Jawabu:

                                  Kwa jina la Mwenyezi Mungu

             Ikiwa kufunga kwake kutamuweka katika madhara basi anaruhusiwa kufungua, ila baadae atazilipa.

 

                                 Ayatollah Sheikh Muhammad Yaaqobiy