Hukumu ya samaki wasiokuwa na magamba

| |times read : 558
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Hukumu ya samaki wasiokuwa na magamba

Swali:

    Je, mnaweza kutupatia sababu ya kuharamisha ulaji wa samaki wasio na magamba?.

 

Jawabu:

       Kwa jina la Mwenyezi Mungu

Tuna dalili sahihi zenye kuharamisha samaki wasio na magamba, ama ukitaka kuhoji kwanini ni kwamba Mwenyezi Mungu amesema “...Haulizwi kwa afanyayo na wao ni wenye kuulizwa...”  Surat Anbiya aya 23.

                                                        Ayatollah Mohammad Yaaqubiy