Hukumu ya kumwangalia mwanamke unayetaka kumuoa

| |times read : 410
  • Post on Facebook
  • Share on WhatsApp
  • Share on Telegram
  • Twitter
  • Tumblr
  • Share on Pinterest
  • Share on Instagram
  • pdf
  • Print version
  • save

Hukumu ya kumwangalia mwanamke unayetaka kumuoa

Swali:

    Je, inafaa mwanaume kumwangalia mwanamke ambaye anataka kumuoa bila ya hijabu na kabla ya ndoa?, na ni viungo gani vingine ambavyo mwanaume anaweza kuviangalia kwa huyo mwanamke kabla yandoa?.

 

Jawabu:

       Kwa jina la Mwenyezi Mungu

Inatosha kwake kumwangalia uso na viganja vyake tu, na kama atakuwa anataka kumwangalia zaidi basi atumie wanawake wa upande wake kumwangalia vizuri au kwa kuhofia kwamba inawezekana akawa na aibu.

                                                        Ayaotollah Mohammad Yaaqubiy